Skip to content
Amosi 2:14-15

Amosi 2:14-15

14
Mkimbiaji hodari hatanusurika, wenye nguvu wataishiwa nguvu zao, na shujaa hataweza kuokoa maisha yake.
15
Mpiga upinde atakimbia, askari wapiga mbio hawataweza kutoroka, na mpanda farasi hataokoa maisha yake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options