Aller au contenu
Matendo 8:1-3

Matendo 8:1-3

1
Naye Sauli alikuwepo pale, akiridhia kuuawa kwa Stefano. Siku ile kukatukia mateso makuu dhidi ya kanisa huko Yerusalemu, waumini wote isipokuwa mitume wakatawanyika, wakakimbilia Uyahudi na Samaria.
2
Watu wacha Mungu wakamzika Stefano na kumwombolezea sana.
3
Lakini kwa habari ya Sauli alikuwa analiharibu kanisa, akiingia nyumba kwa nyumba, akiwaburuta wanawake na wanaume na kuwatupa gerezani.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options