Matendo 7:20-22
20
“Wakati huo Mose alizaliwa, naye hakuwa mtoto wa kawaida. Akalelewa nyumbani kwa baba yake kwa muda wa miezi mitatu.
21
Waliposhindwa kumficha zaidi, wakamweka nje mtoni na binti Farao akamchukua akamtunza kama mtoto wake mwenyewe.
22
Mose akafundishwa hekima yote ya Wamisri, akawa mtu hodari kwa maneno na matendo.
Settings