Skip to content
Matendo 4:36-37

Matendo 4:36-37

36
Yosefu, Mlawi kutoka Kipro, ambaye mitume walimwita Barnaba (maana yake Mwana wa Faraja),
37
aliuza shamba alilokuwa nalo, akaleta hizo fedha alizopata na kuziweka miguuni pa mitume.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options