Skip to content
Matendo 3:14-15

Matendo 3:14-15

14
Ninyi mlimkataa huyo Mtakatifu na Mwenye Haki mkaomba mpewe yule muuaji.
15
Hivyo mkamuua aliye chanzo cha uzima, lakini Mungu akamfufua kutoka kwa wafu. Sisi tu mashahidi wa mambo haya.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options