Rukia maudhui
Matendo 26:30-32

Kesi yahitimishwa

Matendo 26:30-32
30
Baada ya kusema hayo, mfalme akainuka pamoja na mtawala na Bernike na wale waliokuwa wameketi pamoja nao.
31
Walipokuwa wakiondoka, wakaambiana, “Mtu huyu hafanyi jambo lolote linalostahili kufa au kufungwa.”
32
Agripa akamwambia Festo, “Mtu huyu angeachwa huru kama hangekuwa amekata rufaa kwa Kaisari.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options