Rukia maudhui
Matendo 24:22-23

Feliksi aahirisha hukumu

Matendo 24:22-23
22
Basi Feliksi ambaye alikuwa anafahamu vizuri habari za Njia ile, akaahirisha shauri lile kwa maelezo yake akisema, “Wakati jemadari Lisia atakapoteremka huku, nitaamua shauri lako.”
23
Ndipo akaamuru kiongozi wa askari amweke chini ya ulinzi lakini ampe uhuru na kuwaruhusu rafiki zake wamhudumie.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options