Skip to content
Matendo 20:36-38

Matendo 20:36-38

36
Paulo alipomaliza kusema haya akapiga magoti pamoja nao wote akaomba.
37
Wote wakalia, wakamkumbatia Paulo na kumbusu,
38
Kilichowahuzunisha zaidi ni kwa sababu ya yale maneno aliyosema kwamba kamwe hawatauona uso wake tena. Wakaenda naye mpaka kwenye meli.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options