Rukia maudhui
Matendo 19:21-22

Paulo apanga safari za utume za baadaye

Matendo 19:21-22
21
Baada ya mambo haya kutukia, Paulo akakusudia rohoni kwenda Yerusalemu kupitia Makedonia na Akaya. Akasema, “Baada ya kufika huko, yanipasa pia kwenda Rumi.”
22
Hivyo akatuma wasaidizi wake wawili, Timotheo na Erasto, waende Makedonia, wakati yeye mwenyewe alibaki kwa muda kidogo huko Asia.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options