Skip to content
Matendo 18:1-2

Matendo 18:1-2

1
Baada ya haya, Paulo akaondoka Athene akaenda Korintho.
2
Huko akakutana na Myahudi mmoja jina lake Akila, mwenyeji wa Ponto, ambaye alikuwa amewasili karibuni kutoka Italia pamoja na mkewe Prisila, kwa sababu Klaudio alikuwa ameamuru Wayahudi wote waondoke Rumi. Paulo akaenda kuwaona,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options