Skip to content
Matendo 12:24-25

Matendo 12:24-25

24
Lakini neno la Mungu likaendelea mbele na kuenea, nao wengi wakaambatana nalo.
25
Barnaba na Sauli walipomaliza ile huduma yao iliyowapeleka, wakarudi Yerusalemu wakiwa pamoja na Yohana aitwaye Marko.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options