Skip to content
Matendo 11:25-26

Matendo 11:25-26

25
Kisha Barnaba akaenda Tarso kumtafuta Sauli,
26
naye alipompata akamleta Antiokia. Hivyo kwa mwaka mzima Barnaba na Sauli wakakutana na kanisa na kufundisha idadi kubwa ya watu. Ilikuwa ni katika kanisa la Antiokia kwa mara ya kwanza wanafunzi waliitwa Wakristo.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options