ข้ามไปยังเนื้อหา
Matendo 10:43-44

Matendo 10:43-44

43
Manabii wote walishuhudia juu yake kwamba kila mtu amwaminiye hupokea msamaha wa dhambi katika Jina lake.”
44
Wakati Petro alikuwa akisema maneno haya, Roho Mtakatifu aliwashukia wote waliokuwa wakisikiliza ule ujumbe.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options