Skip to content
2 Timotheo 2:3-4

2 Timotheo 2:3-4

3
Vumilia taabu pamoja nasi kama askari mwema wa Kristo Yesu.
4
Hakuna askari yeyote ambaye akiwa vitani hujishughulisha na mambo ya kawaida ya maisha haya kwa sababu nia yake ni kumpendeza yule aliyemwandika awe askari.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options