Skip to content
2 Timotheo 1:6-7

2 Timotheo 1:6-7

6
Kwa sababu hii nakukumbusha uchochee ile karama ya Mungu, iliyowekwa ndani yako nilipokuwekea mikono yangu.
7
Maana Mungu hakutupa roho ya woga, bali roho ya nguvu, ya upendo na ya moyo wa kiasi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options