Skip to content
2 Timotheo 1:5-6

2 Timotheo 1:5-6

5
Nimekuwa nikiikumbuka imani yako ya kweli, waliokuwa nayo bibi yako Loisi na mama yako Eunike na ambayo mimi ninasadiki sasa wewe pia unayo.
6
Kwa sababu hii nakukumbusha uchochee ile karama ya Mungu, iliyowekwa ndani yako nilipokuwekea mikono yangu.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options