Skip to content
2 Timotheo 1:3-4

2 Timotheo 1:3-4

3
Ninamshukuru Mungu, ninayemtumikia kwa dhamiri safi, kama walivyofanya baba zangu, ninapokukumbuka usiku na mchana katika maombi yangu.
4
Nikiyakumbuka machozi yako, ninatamani sana kukuona ili nipate kujawa na furaha.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options