Skip to content
2 Timotheo 1:3-4

2 Timotheo 1:3-4

3
Ninamshukuru Mungu, ninayemtumikia kwa dhamiri safi, kama walivyofanya baba zangu, ninapokukumbuka usiku na mchana katika maombi yangu.
4
Nikiyakumbuka machozi yako, ninatamani sana kukuona ili nipate kujawa na furaha.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options