Skip to content
2 Wathesalonike 1:6-7

2 Wathesalonike 1:6-7

6
Mungu ni mwenye haki: yeye atawalipa mateso wale wawatesao ninyi
7
na kuwapa ninyi mnaoteseka raha pamoja na sisi, wakati Bwana Yesu atakapodhihirishwa kutoka mbinguni katika mwali wa moto pamoja na malaika wake wenye nguvu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options