2 Wathesalonike 1:5-6
5
Haya yote ni uthibitisho kwamba hukumu ya Mungu ni ya haki, na kwa sababu hiyo ninyi mtahesabiwa kwamba mnastahili kuwa wa Ufalme wa Mungu, mnaoteswa kwa ajili wake.
6
Mungu ni mwenye haki: yeye atawalipa mateso wale wawatesao ninyi