Skip to content
2 Samweli 5:6-7

2 Samweli 5:6-7

6
Mfalme na watu wake wakaenda Yerusalemu kuwashambulia Wayebusi walioishi humo. Wayebusi wakamwambia Daudi, “Wewe hutaingia humu, kwani hata vipofu na viwete wanaweza kukufukuza.” Walidhani, “Daudi hawezi kuingia humu.”
7
Hata hivyo, Daudi akaiteka ngome ya Sayuni, Mji wa Daudi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options