2 Samweli 22:8-10
8
“Dunia ilitetemeka na kutikisika, misingi ya mbingu ikatikisika, vilitetemeka kwa sababu alikuwa amekasirika.
9
Moshi ukapanda kutoka puani mwake, moto uteketezao ukatoka kinywani mwake, makaa ya moto yawakayo yakatoka ndani mwake.
10
Akazipasua mbingu akashuka chini, mawingu meusi yalikuwa chini ya miguu yake.
Settings