Skip to content
2 Samweli 22:5-7

2 Samweli 22:5-7

5
“Mawimbi ya mauti yalinizunguka, mafuriko ya maangamizi yalinilemea.
6
Kamba za kuzimu zilinizunguka, mitego ya mauti ilinikabili.
7
Katika shida yangu nalimwita Bwana, nilimlilia Mungu wangu. Kutoka Hekaluni mwake alisikia sauti yangu, kilio changu kikafika masikioni mwake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options