5
“Mawimbi ya mauti yalinizunguka, mafuriko ya maangamizi yalinilemea.
6
Kamba za kuzimu zilinizunguka, mitego ya mauti ilinikabili.
7
Katika shida yangu nalimwita Bwana, nilimlilia Mungu wangu. Kutoka Hekaluni mwake alisikia sauti yangu, kilio changu kikafika masikioni mwake.