2 Samweli 22:33-35
33
Mungu ndiye anivikaye nguvu na kufanya njia yangu kuwa kamilifu.
34
Huifanya miguu yangu kama miguu ya kulungu, huniwezesha kusimama mahali palipo juu.
35
Huifundisha mikono yangu kupigana vita; mikono yangu inaweza kupinda upinde wa shaba.