Skip to content
2 Samweli 22:27-28

2 Samweli 22:27-28

27
kwa aliye mtakatifu unajionyesha kuwa mtakatifu, lakini kwa aliyepotoka unajionyesha kuwa mkaidi.
28
Wewe huwaokoa wanyenyekevu, lakini macho yako ni juu ya wenye kiburi ili uwashushe.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options