Rukia maudhui
2 Samweli 22:21-25

Mungu Amthawirisha Daudi kwa Uadilifu Wake

2 Samweli 22:21-25
21
“Bwana alinitendea sawasawa na uadilifu wangu; sawasawa na usafi wa mikono yangu amenilipa.
22
Kwa maana nimezishika njia za Bwana; sijatenda ubaya nikamwacha Mungu wangu.
23
Sheria zake zote zi mbele yangu, wala sijayaacha maagizo yake.
24
Nimekuwa sina hatia mbele zake, nami nimejilinda nisitende dhambi.
25
Bwana amenilipa sawasawa na uadilifu wangu, sawasawa na usafi wangu machoni pake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options