Skip to content
2 Samweli 15:7-9

2 Samweli 15:7-9

7
Mnamo mwisho wa mwaka wa nne, Absalomu akamwambia mfalme, “Naomba unipe ruhusa niende Hebroni nikatimize nadhiri niliyomwekea Bwana.
8
Wakati mtumishi wako alipokuwa huko Geshuri katika nchi ya Aramu, niliweka nadhiri hii, ‘Ikiwa Bwana atanirudisha Yerusalemu, nitamwabudu Bwana huko Hebroni.’ ”
9
Mfalme akamwambia, “Enenda kwa amani.” Hivyo akaenda Hebroni.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options