Skip to content
2 Samweli 13:37-38

2 Samweli 13:37-38

37
Absalomu akakimbia na kwenda kwa Talmai mwana wa Amihudi, mfalme wa Geshuri. Lakini Mfalme Daudi akaomboleza kwa ajili ya mwanawe kila siku.
38
Baada ya Absalomu kukimbia na kwenda Geshuri, akakaa huko miaka mitatu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options