Skip to content
2 Samweli 13:30-31

2 Samweli 13:30-31

30
Wakati wakiwa njiani, taarifa ilimjia Daudi, kusema: “Absalomu amewaua wana wote wa mfalme; hakuna hata mmoja aliyesalia.”
31
Mfalme akasimama, akararua nguo zake, akalala chini ardhini; nao watumishi wake wote wakasimama kando yake na nguo zao zikiwa zimeraruliwa.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options