跳到主要内容
2 Petro 1:20-21

2 Petro 1:20-21

20
Zaidi ya yote, yawapasa mjue kwamba hakuna unabii katika Maandiko uliofasiriwa kama alivyopenda nabii mwenyewe.
21
Kwa maana unabii haukuja kamwe kwa mapenzi ya mwanadamu, bali watu walinena yaliyotoka kwa Mungu wakiongozwa na Roho Mtakatifu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options