Skip to content
2 Wafalme 3:4-5

2 Wafalme 3:4-5

4
Basi Mesha mfalme wa Moabu akafuga kondoo, naye akawa ampatie mfalme wa Israeli wana-kondoo 100,000 pamoja na sufu ya kondoo dume 100,000.
5
Lakini baada ya Ahabu kufa, mfalme wa Moabu aliasi dhidi ya mfalme wa Israeli.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options