Skip to content
2 Wafalme 3:2-3

2 Wafalme 3:2-3

2
Akafanya maovu machoni pa Bwana, lakini sio kama baba yake na mama yake walivyokuwa wamefanya. Akaondoa nguzo ya ibada ya Baali ambayo baba yake alikuwa ameitengeneza.
3
Hata hivyo akashikamana na dhambi za Yeroboamu mwana wa Nebati, ambazo alisababisha Israeli kuzitenda, wala hakuziacha.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options