Skip to content
2 Wafalme 23:31-33

2 Wafalme 23:31-33

31
Yehoahazi alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitatu alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu kwa miezi mitatu. Jina la mama yake aliitwa Hamutali binti Yeremia kutoka Libna.
32
Akafanya maovu machoni mwa Bwana, kama baba zake walivyofanya.
33
Farao Neko akamfunga kwa minyororo huko Ribla katika nchi ya Hamathi ili asiweze kutawala huko Yerusalemu, naye akatoza kodi ya talanta mia moja za fedha, na talanta moja ya dhahabu katika Yuda.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 90 chars

Options