Перейти к содержимому
2 Wafalme 23:31-32

2 Wafalme 23:31-32

31
Yehoahazi alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitatu alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu kwa miezi mitatu. Jina la mama yake aliitwa Hamutali binti Yeremia kutoka Libna.
32
Akafanya maovu machoni mwa Bwana, kama baba zake walivyofanya.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options