Μετάβαση στο περιεχόμενο
2 Wafalme 23:26-27

2 Wafalme 23:26-27

26
Hata hivyo, Bwana hakuacha ghadhabu yake iliyowaka dhidi ya Yuda kwa sababu ya yale yote ambayo Manase alikuwa amefanya kumghadhibisha.
27
Hivyo Bwana akasema, “Nitamwondoa Yuda mbele zangu kama nilivyomwondoa Israeli, nami nitaukataa Yerusalemu, mji niliouchagua, na Hekalu hili, ambalo nilisema, ‘Jina langu litakaa humo.’ ”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options