Rukia maudhui
2 Wafalme 20:20-21

Mwisho wa Utawala wa Hezekia

2 Wafalme 20:20-21
20
Matukio mengine ya utawala wa Hezekia, mafanikio yake yote, na jinsi alivyotengeneza bwawa na mfereji ambao ulileta maji katika mji, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Yuda?
21
Hezekia akafa, akazikwa pamoja na baba zake. Naye Manase mwanawe akawa mfalme baada yake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options