Rukia maudhui
2 Wafalme 18:7-8

2 Wafalme 18:7-8

7
Naye Bwana alikuwa pamoja naye, akafanikiwa katika kila alichokifanya. Aliasi dhidi ya mfalme wa Ashuru, wala hakumtumikia.
8
Kuanzia mnara wa ulinzi hadi kwenye mji wenye ngome, aliwashinda Wafilisti, hadi kufikia Gaza na himaya yake yote.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options