Rukia maudhui
2 Wafalme 18:34-35

2 Wafalme 18:34-35

34
Iko wapi miungu ya Hamathi na ya Arpadi? Iko wapi miungu ya Sefarvaimu, Hena na Iva? Je, imeokoa Samaria kutoka mkononi mwangu?
35
Ni yupi miongoni mwa miungu yote ya nchi hizi ameweza kuokoa nchi yake mkononi mwangu? Inawezekanaje basi Bwana aiokoe Yerusalemu mkononi mwangu?”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options