2 Wafalme 14:11-12
11
Hata hivyo, Amazia hakusikia, hivyo Yehoashi mfalme wa Israeli akashambulia. Yeye na Amazia mfalme wa Yuda wakakutana uso kwa uso huko Beth-Shemeshi katika Yuda.
12
Yuda ikashindwa na Israeli, na kila mtu akakimbilia nyumbani kwake.