Skip to content
2 Wakorintho 9:11-12

2 Wakorintho 9:11-12

11
Mtatajirishwa kwa kila namna ili mpate kuwa wakarimu kila wakati, na kupitia kwetu, ukarimu wenu utamletea Mungu shukrani.
12
Huduma hii mnayofanya si tu kwa ajili ya kukidhi mahitaji ya watakatifu, bali huzidi sana kwa shukrani nyingi apewazo Mungu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options