Skip to content
2 Wakorintho 8:16-17

2 Wakorintho 8:16-17

16
Ninamshukuru Mungu ambaye amemtia Tito moyo wa kuwajali ninyi kama mimi ninavyowajali.
17
Si kwamba Tito amekubali tu ombi letu, bali anakuja kwenu akiwa na shauku kuliko wakati mwingine, tena kwa hiari yake mwenyewe.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options