Skip to content
2 Wakorintho 6:1

2 Wakorintho 6:1

Inaonyesha mstari 1 pamoja na muktadha unaouzunguka.
1
Kama watendakazi pamoja na Mungu, tunawasihi msipokee neema ya Mungu bure.
2
Kwa maana asema: “Wakati wangu uliokubalika nilikusikia, siku ya wokovu nilikusaidia.” Tazama, wakati uliokubalika ndio huu, siku ya wokovu ndiyo sasa.
3
Hatuweki kitu cha kukwaza katika njia ya mtu yeyote, ili huduma yetu isionekane kuwa na lawama.
4
Bali kama watumishi wa Mungu tuonyeshe kwa kila njia: katika saburi nyingi; katika dhiki, katika misiba, na katika shida;
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 90 chars

Options