Skip to content
2 Wakorintho 3:10-11

2 Wakorintho 3:10-11

10
Kwa maana kile kilichokuwa na utukufu sasa hakina utukufu ukilinganisha na huu utukufu unaozidi wa Agano Jipya.
11
Ikiwa kile kilichokuwa kinafifia kilikuja kwa utukufu, je, si zaidi utukufu wa kile kinachodumu?
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options