Skip to content
2 Wakorintho 2:12-13

2 Wakorintho 2:12-13

12
Basi nilipofika Troa kuhubiri Injili ya Kristo na kukuta kwamba Bwana alikuwa amenifungulia mlango,
13
bado nilikuwa sina utulivu akilini mwangu kwa sababu sikumkuta ndugu yangu Tito huko. Hivyo niliagana nao nikaenda Makedonia.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options