Skip to content
2 Wakorintho 10:3-6

2 Wakorintho 10:3-6

3
Ingawa tunaishi duniani, hatupigani vita kama ulimwengu ufanyavyo.
4
Silaha za vita vyetu si za mwili, bali zina uwezo katika Mungu hata kuangusha ngome,
5
tukiangusha mawazo na kila kitu kilichoinuka, kijiinuacho juu ya elimu ya Mungu, na tukiteka nyara kila fikira ipate kumtii Kristo,
6
tena tukiwa tayari kuadhibu kila tendo la kutotii, kutii kwenu kutakapokamilika.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options