2 Wakorintho 10:3-5
3
Ingawa tunaishi duniani, hatupigani vita kama ulimwengu ufanyavyo.
4
Silaha za vita vyetu si za mwili, bali zina uwezo katika Mungu hata kuangusha ngome,
5
tukiangusha mawazo na kila kitu kilichoinuka, kijiinuacho juu ya elimu ya Mungu, na tukiteka nyara kila fikira ipate kumtii Kristo,