Skip to content
2 Nyakati 5:2-4

2 Nyakati 5:2-4

2
Kisha Solomoni akawaita huko Yerusalemu wazee wa Israeli, viongozi wote wa makabila na wakuu wa jamaa za Waisraeli, ili walilete Sanduku la Agano la Bwana kutoka Sayuni, Mji wa Daudi.
3
Nao wanaume wote wa Israeli wakakusanyika kwa mfalme wakati wa sikukuu mwezi wa saba.
4
Wazee wote wa Israeli walipofika, Walawi wakajitwika Sanduku la Agano,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options