Skip to content
2 Nyakati 5:2-3

2 Nyakati 5:2-3

2
Kisha Solomoni akawaita huko Yerusalemu wazee wa Israeli, viongozi wote wa makabila na wakuu wa jamaa za Waisraeli, ili walilete Sanduku la Agano la Bwana kutoka Sayuni, Mji wa Daudi.
3
Nao wanaume wote wa Israeli wakakusanyika kwa mfalme wakati wa sikukuu mwezi wa saba.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options