Skip to content
2 Nyakati 34:29-30

2 Nyakati 34:29-30

29
Kisha mfalme akawaita pamoja wazee wote wa Yuda na Yerusalemu.
30
Akapanda kwenda hekaluni mwa Bwana pamoja na watu wa Yuda, watu wa Yerusalemu, makuhani na Walawi, watu wote, wakubwa kwa wadogo. Akasoma wakiwa wanasikia maneno yote ya Kitabu cha Agano, ambacho kilikuwa kimepatikana katika Hekalu la Bwana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options