Skip to content
2 Nyakati 34:1-2

2 Nyakati 34:1-2

1
Yosia alikuwa na miaka minane alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu miaka thelathini na mmoja.
2
Akafanya yaliyo mema machoni pa Bwana na kuenenda katika njia za Daudi baba yake, hakugeuka upande wa kuume wala wa kushoto.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options