Skip to content
2 Nyakati 29:1-3

2 Nyakati 29:1-3

1
Hezekia alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitano alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu kwa miaka ishirini na tisa. Mama yake aliitwa Abiya binti Zekaria.
2
Akafanya yaliyo mema machoni pa Bwana kama Daudi baba yake alivyofanya.
3
Katika mwezi wa kwanza wa mwaka wa kwanza wa utawala wa alifungua milango ya Hekalu la Bwana, na kuikarabati.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options